- 9 views
Maafisa katika kaunti ya Kilifi wamenusuru watoto-30 kutoka kituo kimoja cha malezi ya watoto kinachosimamiwa na mume na mke kwa madai ya kutokuwa na kibali kinachohitajika. Wakiongozwa na naibu kamishna wa kaunti ndogo ya Malindi Irene Munyoki na afisa mkuu wa masuala ya watoto katika kaunti hiyo Sebastian Muteti, kundi hilo la maafisa lilielekea kwenye kituo hicho na kukifunga kufuatia malalamiko kutoka kwa wananchi. Wamiliki wa kituo hicho wanazuiliwa katika kituo cha polisi cha Malindi. Watoto waliookolewa wamepatiwa hifadhi katika makai ya watoto yalioko Sabaki huku juhudi zikiendelea za kuwaunganisha na jamaa zao.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Hifadhi haramu : Watoto-30 wanusuriwa
- - Outro ››
- 23 Aug 2025 - A team led by Education Cabinet Secretary Julius Ogamba and Kisii Governor Simba Arati has begun tours across Gusii to provide updates on stalled government projects, including the revival of the decommissioned Suneka airstrip.
- 23 Aug 2025 - Police in Vihiga have launched investigations after an officer allegedly shot and killed his colleague while on duty at the government fertiliser depot in Esirabe, Luanda.
- 23 Aug 2025 - Police in Vihiga have launched investigations after an officer allegedly shot and killed his colleague while on duty at the government fertiliser depot in Esirabe, Luanda.
- 23 Aug 2025 - A family in Garissa is demanding justice and the release of their kin, who was allegedly abducted by suspected National Police Reservists in Hagadera, Fafi Sub-County, over a year ago.
- 23 Aug 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has ordered a crackdown on miraa vehicles along the Mwea–Embu highway in Kirinyaga County.
- 23 Aug 2025 - Chief Justice Koome, who also attended the same event, responded to Wetangula's allegations.
- 23 Aug 2025 - Kenyans will have a chance to witness Kenny G perform at KICC in Nairobi on September 27, 2025.
- 23 Aug 2025 - In Singapore, chewing gum is banned, while in North Korea, you can't wear blue jeans.
- 23 Aug 2025 - The National Authority for the Campaign Against Alcohol and Drug Abuse (NACADA) early Saturday morning raided a major illicit alcohol den in Soweto village, Kahawa West, Nairobi, destroying more than 10,000 litres of toxic Kangara.
- 23 Aug 2025 - Nyong’o, who has previously backtracked on some sugar sector reforms, criticized the approval as insensitive and unconstitutional.