- 243 views
Hoja ya kutokuwa na imani na utendakazi wa Naibu Rais Rigathi Gachagua na mipango ya kumuondoa madarakani, ni suala ambalo limevutia hisia mseto miongoni mwa raia, mashirika ya kijamii, kidini na viongozi wa kisiasa. Baadhi ya viongozi wa kidini wameonya kwamba mdahalo huo wa kisiasa unatishia usalama wa nchi huku chama cha Jubilee kikupuuzilia mbali pendekezo la hoja hiyo na kuitaja kama mkakati wa kisiasa wa kuwapotosha wakenya kutokana na masuala muhimu yanayolikabili taifa kama vile ufisadi na udhalalishaji wa sheria. Ripota wetu John Jacob Kioria ana maelezo zaidi kwenye ulingo wa siasa.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Hisia mseto zaghubika mjadala dhidi ya Gachagua
- 1 Jul 2025 - The government is now appealing to parents, religious leaders, and community elders to take a more proactive role in guiding young Kenyans toward peaceful and lawful means of civic engagement.
- 1 Jul 2025 - The decision, made amid mounting public pressure on the state's response to the unrest, was confirmed in a statement issued Monday by Health Cabinet Secretary Aden Duale.
- 1 Jul 2025 - The autopsies, conducted at Kilome MNH Hospital Mortuary, revealed that Garson Mutisya, 33, and Makau Mualuko, 23, sustained fatal gunshot wounds to the chest, with the bullets exiting through their backs.
- 1 Jul 2025 - A 92-year-old British man was convicted on Monday for a rape and murder committed nearly 60 years ago, in one of the UK's longest-running cold cases.
- 1 Jul 2025 - IG Kanja, DCI ordered to produce missing blogger
- 1 Jul 2025 - Inside 16-year pension tussle pitting Stanchart against its 629 ex-staff
- 1 Jul 2025 - Study exposes violations against women workers
- 1 Jul 2025 - Disputes, water crisis stall Tana rice project
- 1 Jul 2025 - Standard Group outlines recovery plan after Sh1.5b rights issue nod
- 1 Jul 2025 - State urges parents, elders to guide youth away from anarchy