Skip to main content
Skip to main content

Hofu ya usalama Thogoto yazidi baada ya kisa cha kifo Kikuyu

  • | Citizen TV
    3,660 views
    Duration: 3:52
    Wakazi wa eneo la Thogoto huko Kikuyu wanaishi kwa hofu kutokana na kuongezeka kwa visa vya utovu wa usalama. Kisa cha hivi punde kikiwa cha mwanamme wa miaka 30 aliyepatikana amefariki kando ya barabara huku mwanafunzi wa chuo kikuu akiuguzwa majeraha baada ya kuvamiwa na magenge eneo hilo.