Hospitali ya Indonesia iliyoko Gaza imefungwa huku takriban wagonjwa 45 awakihitaji upasuaji
Hospitali ya Indonesia iliyoko Gaza imefungwa huku takriban wagonjwa 45 awakihitaji upasuaji wa haraka wameachwa katika eneo la mapokezi, mkuu wa hospitali hiyo Atef al-Kahlout aliambia Al Jazeera .
Hapo awali, hospitali hiyo ilionekana ikiwa imejaa watu waliojeruhiwa sakafuni, huku wahudumu wa afya wakimfanyia mgonjwa upasuaji wakitumia mwanga wa tochi kutokana na kukatika kwa umeme.
Daktari katika hospitali hiyo, Yasmeen Abu Seif alisema kituo hicho kimeachwa bila vifaa, hakuna madaktari na uwezo wa kutibu majeruhi wanaoletwa.
16 Aug 2025
- The state agency also listed requirements for applications.
16 Aug 2025
- Some of the cars for sale are Toyota Wish, Corolla and Prado.
16 Aug 2025
- Police have launched an investigation into the incident.
17 Aug 2025
- Following are key quotes from Russian President Vladimir Putin's statement after meeting U.S. President Donald Trump in Alaska on Friday.
17 Aug 2025
- A young Palestinian woman who was flown from Gaza to an Italian hospital in a severely emaciated state for treatment has died, the hospital said Saturday.
17 Aug 2025
- Auditor General queries Sakaja's Dishi na County project
17 Aug 2025
- How background check cost ex-Equity Bank's staff plum job
17 Aug 2025
- Court battles bleed billions from public universities
17 Aug 2025
- Cheer Harambee Stars with an eye on the fly in our soup
17 Aug 2025
- Hustler accuses MPs of corruption, naysayers now await deliverance
17 Aug 2025
- Comedy of errors: Why Ruto has egg on face over jobs
17 Aug 2025
- PS denies money from e-Citizen platform accounts was stolen
17 Aug 2025
- Ruto's shift towards China reveals costly miscalculation on US ties