Skip to main content
Skip to main content

Hospitali ya mama Lucy Kibaki yaanza ujenzi wa kituo kipya Nairobi

  • | Citizen TV
    408 views
    Duration: 1:32
    Hospitali ya mama Lucy Kibaki imeanza ujenzi wa wodi maalum ya watoto wachanga yenye vitanda 53, inayolenga kupunguza msongamano na kuboresha huduma za afya ya kina mama na watoto wachanga jijini Nairobi.