- 503 views
Hospitali ya Nairobi Womens imekana ripoti iliyotolewa na shirika la Oxfam International kuhusu shughuli zake. Kupitia kwenye taarifa kwa vyombo vya habari Afisa Mkuu Daktari Sam Thenya amesema hospitali hiyo haijawazuia wagonjwa kwa misingi yoyote na kwamba inafuata uamuzi wa mahakama mwaka 2018 kuhusu swala hilo. Aidha amesisiitiza kuwa hospitali hiyo haijapokea fedha zozote kutoka kwa mashirika ya uwekezaji mbali na hayo hakuna fedha zilizotolewa na mashirika hayo kwa hospitali hiyo ili kupunguza gharama ya matibabu. Na kuhusu umiliki wa hospitali hiyo Daktari Thenya amesisitiza kuwa tangu mwaka 2006 hazina ya Afrika Health ilipowekeza katika hospitali hiyo kwa mara ya kwanza kumekuwa na wawekezaji wengine waliojihusisha na shughuli zake. na kwamba makubaliano hayo ni ya kibiashara na kumekuwa na makubaliano ya kuwepo kwa wenye hisa na yalifuata taratibu zilizoko za kisheria za humu nchini za kimataifa.
Hospitali ya Nairobi Women's yajitetea na madai yaliyotolewa na shirika la Oxfam
- - Duniani Leo ››
- 11 Aug 2025 - President Donald Trump said Sunday that homeless people must be moved "far" from Washington, after days of musing about taking federal control of the US capital where he has falsely suggested crime is rising.
- 11 Aug 2025 - A man has survived clinging to the outside of an Austrian high-speed train, Austria's state railway said Sunday, reportedly after it left whilst he was having a cigarette break.
- 11 Aug 2025 - A heavy cloud hangs over Kotombo village in Nyakach, Kisumu County. Grief-struck residents walk from house to house, condoling with those in mourning, their faces showing the agony of the calamity that befell two clans in this village.
- - Ugandan soft ground where men and women wrestle in mud
- 11 Aug 2025 - Nairobi Hospital in battle for survival as creditor in court seeking liquidation
- 11 Aug 2025 - Chirchir urges MPs to back proposed road tolling policy
- 11 Aug 2025 - Gachagua, Ruto and Uhuru face crucial Mt Kenya by-election test
- 11 Aug 2025 - Wild cheers, wild bites: Football meets game meat in Dar es Salaam
- 11 Aug 2025 - National Police Service to hire after 3-year freeze
- 11 Aug 2025 - Road to Tokyo: Kenyan stars will be facing stern test