- 205 views
Ibada ya wafu ya wanajeshi sita waliofariki kufuatia ajali ya ndege juma lililopita iliandaliwa leo kwenye kambi ya wanahewa ya Moi katika mtaa wa Eastleigh, jijini Nairobi. Kamanda wa jeshi la wanahewa Meja Jenerali John Omenda aliyewaongoza wanajeshi wenzake kutoa heshima za mwisho kwa wenzao walioangamia alieleza imani kuwa kundi la wataalamu wanaochunguza ajali hiyo ambayo pia ilisababisha kifo cha mkuu wa majeshi jenerali Francis Ogolla watapata jawabu hivi karibuni.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Ibada ya wafu ya wanahewa 6 waliofariki kwenye ajali ya ndege yaandaliwa
- - Duniani Leo ››
- 13 Aug 2025 - A UK town applied for a High Court injunction on Tuesday to stop asylum seekers being housed in a local hotel, following protests, some of which turned violent.
- 13 Aug 2025 - The move aims to boost youth skills development and economic empowerment
- 13 Aug 2025 - Europe's car exporters are still struggling with uncertainty over U.S. tariffs despite last month's trade deal, Wallenius Wilhelmsen, the operator of one of the world's largest car-carrier fleets, told Reuters on Tuesday.
- 13 Aug 2025 - Air of normalcy surprises visitors expecting violent theatrics from patients.
- 13 Aug 2025 - Former first lady Kim Keon Hee denied all charges during a four-hour court hearing in Seoul on Tuesday.
- 13 Aug 2025 - Two suspects including a cop who had been detained were released
- 13 Aug 2025 - Murigi died while undergoing treatment at Thika Level 5 Hospital.
- 13 Aug 2025 - Armoured vehicles were spotted at urban centres and tourist sites around the US capital on Tuesday evening.
- 13 Aug 2025 - The Sh2.9 billion project began in 2019 during former President Uhuru Kenyatta’s administration.
- 13 Aug 2025 - Mr Gachagua is attempting to establish a narrative that the world should prepare for an opposition victory in 2027.