Idadi kubwa ya vifo vya Wapalestina yaongeza ukosoaji dhidi ya Marekani
Leo jeshi la Israel limeamuru wakaazi wa Al- Bureij katikati mwa Gaza kuhamia kusini haraka ikiashiria lengo jipya la mashambulizi ya ardhini ambayo tayari yameliharibu eneo la kaskazini mwa ukanda huo na kusababisha uvamizi mkubwa upande wa kusini.
Serikali ya Israel chini ya waziri mkuu Benjamin Netanyahu imeapa kulitokomeza kundi la Hamas , kundi la kiislamu linaloongoza Gaza baada ya wapiganaji wake kufanya mashambulizi ya kuvuka mpaka Octoba 7 na kusababisha vifo vya watu 1,200 na kuwashikilia mateka watu 240 kwa mujibu wa hesabu za Israel.
Lakini idadi kubwa ya vifo wakati wa kampeni za kijeshi za Israel za kujibu mashambulizi zimeongeza ukosoaji mkubwa hata kwa Mshirika mkuu Marekani.
- Vyanzo mbalimbali
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #GadiEizenkot #wazirimkuu #maziko
1 Jun 2024
- Dandora dumpsite covers approximately 30 acres, and about 850 tonnes of solid waste generated by residents of Nairobi (with a population of more than 6 million people) end up there daily.
1 Jun 2024
- “We have already passed the Finance bill and it is awaiting my approval for it to be a law," the governor stated.
1 Jun 2024
- Your favourite drinks are about to become more expensive as the government pushes new legislation that will have huge changes for manufacturers.
2 Jun 2024
- It is a tragedy that many in public positions seem to care for their benefits, but not for the people.
2 Jun 2024
- The second Russia-Africa summit held in July 2023 was an important milestone.
2 Jun 2024
- Government and partners should promote positive environments to discourage radicalisation.
2 Jun 2024
- DP and his troops vigorously oppose parts of the Finance Bill as it stands.
2 Jun 2024
- President bets on agriculture to drive growth, blasts wastage
2 Jun 2024
- Pomp and colour as thousands attend Madaraka fete in Bungoma
2 Jun 2024
- DP Rigathi Gachagua delivered a speech of less than two minutes, a departure from his usually lengthy speeches.
2 Jun 2024
- It may look like an innocent green plant, but its name evokes something far closer to a robot or interstellar rocket. Protected from the elements, several thousand modified pothos plants, green speckled with white, awaited their turn to be potted, packed…
2 Jun 2024
- The world's biggest heavyweights in chipmaking and artificial intelligence will converge this week for Taiwan's premier tech expo, with Nvidia CEO Jensen Huang expected to get a rockstar reception at his keynote speech on Sunday.
2 Jun 2024
- Uganda has rolled out a nationwide yellow fever vaccination campaign to help safeguard its population against the mosquito-borne disease that has long posed a threat.