- 506 views
Zaidi ya watu 140 kufikia sasa wamerekodiwa kufariki kutokana na athari za mvua tangu wiki jana. Hii ni baada ya watu 93 kuripotiwa kufariki sehemu mbalimbali nchini kufikia jana jioni. Hii ni kabla ya vifo vilivyoripotiwa kuanzia leo asubuhi kutoka eneo la Mai Mahiu, Nakuru ambapo kufikia mwendo wa saa sita, watu 42 walikuwa wamefariki. Tana River, maiti moja ikiopolewa, Garissa mtu mmoja, Mathioya watu watatu wakifariki na Nyahururu mtu mmoja akifariki. Taarifa zaidi tutazipata kwenye taarifa zetu za baadaye
Idadi ya vifo vya mafuriko yafikia 140
- 16 May 2024 - Singapore on Wednesday swore in Lawrence Wong as its new prime minister Wednesday, replacing Lee Hsien Loong following two decades in office, with the new leader warning that the trade-dependent city-state faced a riskier, more conflict-ridden world.
- 16 May 2024 - United States Ambassador to Kenya Meg Whitman has dismissed claims that she is among President William Ruto’s chief advisors.
- 16 May 2024 - Slovak Prime Minister Robert Fico suffered life-threatening injuries on Wednesday when he was shot and wounded in an attempted assassination that stunned his small Central European nation and drew a chorus of international condemnation.
- 16 May 2024 - U.S. Ambassador to Kenya Meg Whitman has seemingly expressed reservations about President William Ruto's plan to increase Kenya's tax rate from 14 percent to 22 percent by the end of his term.
- 16 May 2024 - EACC recovers Sh3.2 billion prime property in Eldoret
- 16 May 2024 - Jilted suitor jailed 30 years for splashing acid in woman's eyes
- 16 May 2024 - State should vet real estate agents to weed out rogue ones
- 16 May 2024 - Limuru III meeting sows confusion in Kenya Kwanza administration
- 16 May 2024 - Inside Ruto-doctors' agreement to rescue an ailing healthcare sector
- 16 May 2024 - Shakahola: Kin of victims reluctant to collect bodies, seek therapy to reach closure