- 618 views
Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko kufikia leo ni 198. Idadi hii inajumuisha watu 71 waliofariki katika eneo la Mai mahiu Hapo jana. Maiti nne zaidi ziliopolewa katika aneo la Madogo kaunti ya Tana River. watu wanne wakiaga dunia katika eneo la Sindo huku wengine wakiaga dunia Homa Bay. Kufikia sasa watu 102 wamejeruhiwa katika maeneo tofauti nchini. Watu 91 hawajulikani waliko, wengi wao wakiwa katika eneo hilo la Mai Mahiu. Nyumba zilizosombwa ni 30,099 Huku Watu walioathirika kutokana na janga hili wakiwa 190,942. Kituo cha kutoa maelezo kimewekwa katika eneo la Mai Mahiu. Maafisa wa serikali kuu, ile ya kaunti ya Nakuru na Shirika la Msalaba Mwekundu wanasimamia kituo hicho.
Idadi ya waliofariki kufikia leo ni 198
- 21 May 2024 - Reading Time: 2 minutes The KCB Volleyball Team finished the Kenya National League regular season on a high after overpowering the 2024 African Women’s […]
- 21 May 2024 - Pedro Comissario Afonso, UN ambassador for Mozambique, which holds the rotating Council presidency in May, asked members to stand up and remain silent "in remembrance of the loss of life in a crash of the President of the Islamic Republic of Iran…
- 21 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Former Harambee Stars h**d coach Tom Olaba has pleaded with Kenyans to c*me to his aid and help him regain […]
- 21 May 2024 - Reading Time: 2 minutes The Kenya U18 boys and girls teams continued with their impressive performance at the ongoing International School Sports Federation (ISF) […]
- 21 May 2024 - Reading Time: 3 minutes The government of Kenya through the Ministry of Sports has promised to throw everything in their possession to ensure the […]
- 21 May 2024 - Kenya has asked the United States of America (USA) to support Africa in building the institutional capabilities necessary for economic prosperity, peace, and security for the 1.4 billion people in the continent.
- 21 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Local manufacturer’s lobby is urging the government to exp*dite the implementation of the National Taxation Policy, arguing that the policy […]
- 21 May 2024 - Defense Secretary Lloyd Austin indicated that US forces have not changed their posture after the crash in the longtime adversary, where decisions are ultimately made by the supreme leader, Ayatollah Ali Khamenei.
- 21 May 2024 - Reading Time: < 1 minute Co-operative stakeholders are advocating for an independent tribunal to be included in the Cooperative Bi*l 2024 to address emerging disputes […]
- 21 May 2024 - Reading Time: 2 minutes The price of edible oil is likely to surge by up to 80 per cent if the Finance Bi*l 2024 […]