- 35 views
Idadi ya waliofariki baada ya kubugia pombe haramu katika kaunti ya Kirinyaga imefikia watu 10 baada ya watu wengine wanne kufariki katika hospitali ya matibabu maalum ya Kerugoya. Waathiriwa wengine kadhaa wanaendelea kupokea matibabu huku kundi la madkatari likijitahidi kunusuru waathiriwa ambao wamo kwenye hatari ya kufariki au kupoteza uwezo wa kuona. Sasa imebainika kuwa mmiliki wa baa ambako watu hao walibugia pombe ni muuzaji sugu wa pombe haramu na amekamatwa akisubiri kufikishwa mahakamani mara ya kumi na tano.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Idadi ya waliofariki kutokana na unywaji pombe haramu kaunti ya Kirinyaga yaongezeka hadi watu-10
- - LIVE|| TV47 WIKENDI ››
- - LIVE| TV47 NEWS NOW ››
- 5 May 2024 - Ferry services were suspended as a result of Cyclone Hidaya.
- 5 May 2024 - It comes a year after he wed wife Rebecca at a private ceremony in Kericho on May 6, 2023.
- 5 May 2024 - US embassy said successful Diversity Visa selection does not guarantee visa or interview.
- 5 May 2024 - The decision to remove three deputy UDA party leader slots appears as setback for Mudavadi.
- 5 May 2024 - The woman and her five-year-old daughter drowned after jumping into the swollen Nyamindi River on Saturday.
- 5 May 2024 - The ruling party is conducting its first-ever nationwide grassroots elections as it gears for the 2027 general election.
- 5 May 2024 - A Russian passport allows visa-free travel to 117 destinations, while Cuban is limited to 61.
- 5 May 2024 - Kenyans were urged to stay prepared and safe as heavy rainfall is expected.
- 5 May 2024 - Nairobi is fourth with 4,400 millionaires, as per wealth report
- 5 May 2024 - A month ago, the country introduced the Zig, which stands for “Zimbabwe gold”.