- 1,759 viewsDuration: 3:16Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko ya ijumaa iliyopita sasa imefikia watu 49 kote nchini. Ripoti hii ya maafisa wa usalama inajiri huku zaidi ya familia 2,600 zikisalia bila makao kufuatia mafuriko ambayo pia yaliathiri vituo 16 vya polisi.