- 889 views
Idadi isiyojulikana ya wavuvi imeuwawa katika eneo la Todonyang kaunti ya Turkana kufuatia mzozo baina ya jamii mbili kutoka Kenya na Ethiopia. Kwa mujibu wa wakazi, mapigano hayo yalichangiwa na uhasama kuhusu uvuvi ambapo jamii hizo mbili zimekuwa zikizozana kuhusu sehemu ya kuvua samaki katika Ziwa Turkana. Na kama anavyoarifu Laura Otieno, waziri wa usalama Kipchumba Murkomen amebaini kuwa serikali inashirikiana na Ethiopia kutafuta suluhu itakayokomesha maafa ya mara kwa mara katika eneo hilo.
Idadi ya wavuvi wasiojulikana wauawa katika eneo la Todonyang kaunti ya Turkana
- - Amerucan Golf Day ››
- 17 Aug 2025 - Following are key quotes from Russian President Vladimir Putin's statement after meeting U.S. President Donald Trump in Alaska on Friday.
- 17 Aug 2025 - A young Palestinian woman who was flown from Gaza to an Italian hospital in a severely emaciated state for treatment has died, the hospital said Saturday.
- 17 Aug 2025 - Social media personality Faustine Baba Talisha, on Saturday, August 16, 2025, continued marking the fifth anniversary of his
- 17 Aug 2025 - Inside the power games behind Governor Mutai fresh ouster bid
- 17 Aug 2025 - Auditor General queries Sakaja's Dishi na County project
- 17 Aug 2025 - Ruto's shift towards China reveals costly miscalculation on US ties
- 17 Aug 2025 - How background check cost ex-Equity Bank's staff plum job
- 17 Aug 2025 - Court battles bleed billions from public universities
- 17 Aug 2025 - Cheer Harambee Stars with an eye on the fly in our soup
- 17 Aug 2025 - Hustler accuses MPs of corruption, naysayers now await deliverance