Skip to main content
Skip to main content

Idara ya Afya ya Migori imezindua kampeni ya kuhamasisha umma kuhusu utunzaji wa msingi wa macho

  • | Citizen TV
    119 views
    Duration: 2:01
    Idara ya Afya katika Kaunti ya Migori, kwa ushirikiano na wakfu wa Fred Hollows , imezindua kampeni ya kuhamasisha umma kuhusu utunzaji wa msingi wa macho ili kupunguza magonjwa ya macho