- 34 views
Mashirika yasiyo ya kiserikali yametakiwa kuthibitisha kuwa jumla ya shilingi bilioni 197 walizopokea kutoka kwa wafadhili mwaka wa 2023/2024 na shilingi bilioni 175 mwaka wa 2022/2023, zilitumika katika miradi iliyokusudiwa na wala sio vinginevyo. Halmashauri ya udhibiti wa mashirika ya faida ya umma imesema baadhi ya mashirika kwa sasa yanachunguzwa kwa madai ya kukiuka kanuni. Haya yanajiri baada ya wizara ya mashauri ya kigeni kuyataka mashirika 16 kuelezea matumizi ya mamilioni ya pesa walizopokea kutoka wakfu wa Ford ambao Rais alihusisha na ufadhili wa maandamano ya kizazi cha Gen Z.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Idara ya DCI yatakiwa kuchunguza baadhi ya mashirika yasiyo ya kiserikali
- - Duniani Leo ››
- 23 Jul 2025 - Police in Eldoret are holding two men suspected to have duped over 100 young people through a fake recruitment agency, promising them jobs abroad.
- 23 Jul 2025 - Ukraine said Tuesday it had detained seven people including five teenagers suspected of planning sabotage attacks on behalf of Russia, the latest in a string of youths arrested since the beginning of the three-year war.
- 23 Jul 2025 - Russian lawmakers advanced a bill on Tuesday that would fine internet users who search online for web pages, books, artworks or music albums that authorities have deemed "extremist" -- a move critics have called a dangerous attack on freedom.
- 23 Jul 2025 - The recommendation for charges followed a series of investigations that took 3 months.
- 23 Jul 2025 - France's foreign minister urged Israel on Tuesday to allow international journalists into the besieged Palestinian territory of Gaza to "bear witness" to the situation after 21 months of war.
- 23 Jul 2025 - Leaders say Borana community firmly behind President Ruto.
- 23 Jul 2025 - Roots Party leader and legal scholar George Wajackoyah has criticised Kenya’s political leadership for its chronic failure to
- 23 Jul 2025 - Kenya’s journey toward Universal Health Coverage has hit a major milestone, with over 24 million Kenyans now enrolled in the Taifa-Care programme under the Social Health Authority (SHA). Speaking during a media briefing at SHA headquarters after…
- 23 Jul 2025 - Ruto and Raila signed the working agreement on March 7, 2025 in a ceremony held at KICC.
- 23 Jul 2025 - The Ministry of Health has announced comprehensive reforms to strengthen transparency, accountability, and efficiency in Kenya’s healthcare internship programme.