- 292 views
Idara ya misitu nchini - KFS Imetoa onyo kwa wakaazi wa kaunti ya Garissa wanaojishughulisha na uchomaji makaa kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao. Kamanda wa misitu kaunti ya Garissa Naseeb Mwamusi amesema idara yake itaendelea kushika doria katika maeneo ambapo biashara ya makaa Inaoneka kunoga. Akizungumza baada ya upanzi wa miche zaidi ya mia moja kusherehekea miaka 20 tangu kubuniwa kwa mamlaka ya kusimamia mazingira -NEMA, mkurugenzi wa mamlaka hiyo Issac Kimitei aliwarai wenyeji kupanda miti wakati huu wa mvua ya vuli ili kukabiliana na changamoto za tabianchi
Idara ya misitu nchini yatoa onyo kwa wakazi wanaochoma makaa Garissa
- - LIVE || TV47 WIKENDI ››
- - Duniani Leo ››
- - LIVE |TV47 MATUKIO ››
- 20 Apr 2024 - A man set himself on fire on Friday outside the New York courthouse where Donald Trump's historic hush-money trial was taking place as jury selection wrapped up, but officials said he did not appear to have been targeting Trump.
- 20 Apr 2024 - Some 800,000 people in a Sudanese city are in "extreme and immediate danger" as worsening violence advances and threatens to "unleash bloody intercommunal strife throughout Darfur," top U.N. officials warned the Security Council on Friday.
- 20 Apr 2024 - A 45-year-old man tragically lost his life while trying to cross a flooded swamp in Kiamaciri village, Mutithi ward, Mwea West Sub-county, Kirinyaga County.
- 20 Apr 2024 - The employees were grilled over various allegations by the EACC.
- 20 Apr 2024 - Government splashes Sh100m for tourists comfort zones in counties
- 20 Apr 2024 - Ray of hope as doctors' talks with the government gain momentum
- 20 Apr 2024 - How bold climate leadership can create decent jobs
- 20 Apr 2024 - Military prepares for first of its kind CDF burial
- 20 Apr 2024 - Only bold commitment to action, not conferences will end wage bill crisis
- 20 Apr 2024 - CDF Ogolla was among NSAC members who went to Bomas to meet Chebukati on eve of results announcement. In his SMS to Gen Kibochi, he informed him visit was about politics, not security.