Skip to main content
Skip to main content

IEBC yalalamikia idadi ndogo ya vijana kujisajili kuwa wapiga kura

  • | Citizen TV
    156 views
    Tume ya uchaguzi na mipaka IEBC imelalamikia idadi ndogo ya vijana wanaojitokeza kujisajili kuwa wapiga kura. Tume hiyo kufikia sasa ikiwasajili wapiga kura 148,000 tu kwa zaidi ya miezi miwili iliyopita. Hata hivyo, leo jukwaa la kuchukua maoni kutoka kwa wadau wa uchaguzi mdogo uliopita, liligeuka ukumbi wa majibizano kati ya makamishna wa IEBC na baadhi ya vijana waliohudhuria kikao hicho