Skip to main content
Skip to main content

IEBC yasema haina bajeti ya kutosha kuandaa chaguzi ndogo

  • | Citizen TV
    276 views
    Tume ya uchaguzi na mipaka iebc sasa inasema haina fedha ya kutosha kuandaa chaguzi ndogo 8 zinazotarajiwa mwezi novemba mwaka huu. Iebc ikisema kuwa hazina ya kitaifa haijatoa fedha za kuandaa chaguzi hizo. Na kama anavyoarifu emmanuel too, iebc inasema inalenga kusajili vijana milioni nne kushiriki uchaguzi mkuu wa 2027.