Skip to main content
Skip to main content

IEBC yasema inahitaji takriban Sh63.9B ili kuhakikisha uchaguzi wa 2027 umeendeshwa kikamilifu

  • | NTV Video
    217 views
    Duration: 1:52
    Upungufu wa fedha za ufadhili wa shughuli za Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) katika kuendesha uchaguzi mkuu wa mwaka 2027 zinaendelea kuibua wasiwasi iwapo tume hii iko tayari kwa shughuli hiyo ifikapo Agosti 10 mwaka ujao. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya