Skip to main content
Skip to main content

Ifahamu China: Setilaiti mpya ya EYESAT

  • | KBC Video
    76 views
    Duration: 2:22
    China imezindua mfumo mpya wa ufuatiliaji wa anga unaoitwa EYESAT, ambao utajumuisha satelaiti 156 zitakazozinduliwa kuanzia mwaka 2026. Mfumo huu utafuatilia satelaiti na uchafuzi wa anga duniani kote, kutabiri hatari za mkinzano na kutoa data muhimu kwa usimamizi salama wa usafiri wa anga.Maelezo zaidi ni katika Makala ya Ifahamu China Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive