- 441 views
NTV imebaini kuwa uzembe wa maafisa wa kudhibiti ubora mashuleni katika wizara ya elimu na utepetevu wa mmiliki wa shule ya Hillside Endarasha, kwa miaka mingi umekuwa ukihatarisha maisha ya wanafunzi shuleni humo. Inashangaza kuwa shule hiyo haina ua imara katika pande zote nne kama inavyopaswa, ila kuna ua kwenye pande tatu tu, huku uzio wa upande wa nne ukiwa na mapengo yanayoweza kutumiwa na yeyote kuingia na kuwadhuru wanafunzi. Haya yanajiri wakati ambapo idara ya upelelezi D.C.I inawahoji walimu na wafanyakazi wengine wa shule hiyo kubaini kiini.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Inabainika uzembe wa maafisa wa kudhibiti ubora mashuleni ulihatarisha maisha ya wanafunzi
- - Sam's Sense ››
- - Bonyo's Bone ››
- - Kaikai's Kicker ››
- - Yvonne's Take ››
- 16 May 2025 - Nairobi City Thunder will make their historic debut at the Basketball Africa League (BAL) Nile Conference on tomorrow when they take to the court at the BK Arena in Kigali, Rwanda. The Kenyan side, who are the country’s first-ever representatives in the…
- 16 May 2025 - PSC distances itself from UoN leadership wrangles
- 16 May 2025 - Magwanga escapes alleged gun attack after death of Kasipul MP
- 16 May 2025 - Gachagua's party joins country's growing special-purpose vehicles
- 16 May 2025 - Somalia training special armed unit to face off with al-Shabaab
- 16 May 2025 - Tower of babel: Security chiefs at odds as Kenya faces mounting threats
- 16 May 2025 - Former top cop Charles Owino provides compelling analogy of how to commit murder
- 16 May 2025 - Private firm to inject Sh12.3b to revive sugar factories
- 16 May 2025 - CMA approves Standard Group's Sh1.5b rights issue
- 16 May 2025 - 24 million Kenyans wear mitumba: Report