- 441 views
NTV imebaini kuwa uzembe wa maafisa wa kudhibiti ubora mashuleni katika wizara ya elimu na utepetevu wa mmiliki wa shule ya Hillside Endarasha, kwa miaka mingi umekuwa ukihatarisha maisha ya wanafunzi shuleni humo. Inashangaza kuwa shule hiyo haina ua imara katika pande zote nne kama inavyopaswa, ila kuna ua kwenye pande tatu tu, huku uzio wa upande wa nne ukiwa na mapengo yanayoweza kutumiwa na yeyote kuingia na kuwadhuru wanafunzi. Haya yanajiri wakati ambapo idara ya upelelezi D.C.I inawahoji walimu na wafanyakazi wengine wa shule hiyo kubaini kiini.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Inabainika uzembe wa maafisa wa kudhibiti ubora mashuleni ulihatarisha maisha ya wanafunzi
- 1 Jun 2025 - Speaking on Sunday at AIPCA Gatumbi Church in Lazi, Kiambu County, Gachagua alleged that Members of Parliament allied to President Ruto are receiving money to fund youth-led disruptions during his church visits and public meetings.
- 1 Jun 2025 - Journalists have been subjected to worrying episodes in recent days.
- 1 Jun 2025 - He warned that they risk facing constituents' wrath at the ballot box.
- 1 Jun 2025 - A section of residents walked out as the county commissioner stood to address.
- 1 Jun 2025 - Though it doesn't move around like a live animal, it can detect people, food and objects.
- 1 Jun 2025 - It runs 480 km between the capital Nairobi and the port city of Mombasa.
- 1 Jun 2025 - Suluhu expressed gratitude to the parliament for its support and oversight role.
- 1 Jun 2025 - Athletes, coaches and officials are among 22 people killed in a road accident in northern Nigeria as they returned from the country’s National Sports Festival on Saturday, local authorities have said. Others were left “seriously injured” by the accident…
- 1 Jun 2025 - Ruto made a u-turn on his decision from back in 2022.
- 1 Jun 2025 - Cancer Research UK says that breast cancer is the most common type of cancer, with around 56,400 women and around 390 men diagnosed in the UK each year. A new drug could stop some breast cancer tumours from using hormones to grow, a trial has found.…