Indonesia: Mkanyangano wa watu katika uwanja wa soka uliosababisha vifo vingi
Baba wa wasichana wawili waliouawa katika mkanyagano katika uwanja wa mpira wa miguu nchini Indonesia ameita maafa hayo "mauaji, si ghasia za soka". Mke wa zamani wa Devi Athok pia alikufa pamoja na binti zao kwenye mkanyagano wa Jumamosi.
Takriban watu 131 waliuawa wakati maelfu ya mashabiki walipokimbilia uwanjani baada ya timu ya nyumbani kupoteza mchezo kwenye uwanja wa Kanjuruhan huko Malang, Java Mashariki. Polisi walijibu kwa kurusha mabomu ya machozi.
Mkuu wa jeshi la polisi mkoani humo ameomba radhi kwa kasoro za namna ulinzi ulivyosimamiwa uwanjani hapo. Uchunguzi wa jinai kuhusu tukio hilo sasa unaendelea.
#bbcswahili #indonesia #michezo
22 Aug 2025
- The new crackdown, which is expected to begin in the coming days, could potentially result in mass deportations.
22 Aug 2025
- The team is scheduled for a match on Saturday, August 22.
22 Aug 2025
- On Wednesday, SHA confirmed the disbursement of Ksh3.4 billion to health facilities in the country.
22 Aug 2025
- The Niger army on Thursday said that it had killed a leader of the jihadist group Boko Haram in the Lake Chad basin, where the country borders Nigeria, Chad and Cameroon.
22 Aug 2025
- Police in Masaba North, Nyamira County, are investigating an incident surrounding the death of four family members in Matongo village, Nyamokoroto sub-location.
22 Aug 2025
- The National Police Service (NPS) has issued a traffic advisory for Nairobi motorists ahead of the African Nations Championship (CHAN) quarterfinals set for Friday, August 22, 2025, at the Moi International Sports Centre, Kasarani.
22 Aug 2025
- The woman was driving the vehicle involved in the accident with the motorcycle.
22 Aug 2025
- Detectives have arrested a notorious fraudster who allegedly duped an unsuspecting job seeker by masquerading as the personal assistant to Head of Public Service Felix Koskei.
22 Aug 2025
- The woman connected with a TikTok user under the name “City Tycoon” in February 2024. Seeking permanent employment in Kenya to avoid renewing her contract abroad, she asked him for assistance.
22 Aug 2025
- The High Court in Eldoret has issued an injunction restraining the Director General of the Energy and Petroleum Regulatory Authority (EPRA), Daniel Kiptoo, from developing a parcel of family land at the center of a succession dispute in Uasin Gishu…
22 Aug 2025
- The new crackdown, which is expected to begin in the coming days, could potentially result in mass deportations.
22 Aug 2025
- Foreign Affairs Principal Secretary Korir Sing’oei bade farewell to Ambassador Attiya, commending his pivotal role in advancing bilateral ties.
22 Aug 2025
- The team is scheduled for a match on Saturday, August 22.