Skip to main content
Skip to main content

inspekta mkuu wa polisi Douglas Kanja azungumzia usalama wa nchi

  • | Citizen TV
    1,503 views
    Duration: 1:18
    Inspeka mkuu wa polisi Douglas Kanja amesema idara ya polisi imefaulu kudhoofisha magenge ya uhalifu ambayo yamekuwa yakitisha maeneo kadhaa nchini, pamoja na visa vya ugaidi. Kulingana naye, kesi za uhalifu zimepungua kwa asilimia tano mwaka huu ikilinganishwa na mwaka 2024.