- 547 viewsMakubaliano kati ya Israel na Hamas kuwaachia darzeni ya mateka wanaoshikiliwa katika maeneo ya Wapalestina huenda yanaendelea, kwa mujibu wa ripoti mpya. Makubaliano kama hayo huenda yakapelekea kuwepo kwa sitisho la muda la mapigano la muda huko Gaza ili misaada inayohitajika sana ivuke mpaka. Maafisa wa Marekani na Israel na wanasema makubaliano yoyote hayajakamilishwa. #voaswahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Israel na Hamas huenda wakafikia makubaliano ya kuwaachia mateka
- - LIVE || Sifa Sunday ››
- - LIVE || TV47 WIKENDI ››
- - LIVE| TV47 News Now ››
- 10 Dec 2023 - Doctors in Busia County have threatened to down their tools again if the leadership of the devolved unit fails to meet their grievances.
- 10 Dec 2023 - COTU boss Francis Atwoli has called for the sacking of Treasury CS Njuguna Ndung'u over his remarks that the government lacks resources to finance key public expenditure.
- 10 Dec 2023 - Egyptians head to the polls on Sunday for a presidential election in which Abdel Fattah al-Sisi is poised to win a third term in power as the country grapples with an economic crisis and a war on its border with Gaza.
- 10 Dec 2023 - Livestock farmers from Migori County are living in fear following the incessant attack by hyenas which has left many of their domesticated animals killed.
- 10 Dec 2023 - Three suspected cattle rustlers have been killed and an unknown number of shoats that were stolen from Isiolo County recovered.
- » Mohamed Amin was a famous Kenyan photojournalist – there’s much more to his work than images of tragedy10 Dec 2023 - Kenyan photojournalist Mohamed Amin (1943-1996) rose to fame for documenting the 1984 famine in neighbouring Ethiopia with powerful images of the tragedy.
- 10 Dec 2023 - The national assembly has assured residents of North Rift that they will make laws which will make cattle rustling and banditry to be considered serious crimes like terrorism. The chair departmental committee on administration and internal security…
- 10 Dec 2023 - Kenyan delegation was in Haiti on December 5 to 7 for preparation for the deployment.
- 10 Dec 2023 - The event takes place on Monday in Marrakech, Morocco.
- 10 Dec 2023 - The 28-year-old Australian missed all four majors in 2023 due to injuries.