- 463 viewsMaelfu ya watu walikusanyika kufanya maombi ya kuachiliwa kwa mateka waliosalia wanaoendelea kushikiliwa Ukanda wa Gaza Jumatano mahali ulipo ukuta wa Western Wall Jerusalem. Eneo ambapo maombi yalifanyika Jumatano na umati wa watu ni sehemu takatifu sana kwa Wayahudi kufanya maombi. Hatma ya mateka hao inawatia wasiwasi Waisraeli na kuachiliwa kwao bado ni moja ya malengo ya serikali ya Israel katika vita yake dhidi ya Hamas. Katika shambulizi lao la Oktoba 7, Hamas na wanamgambo wengine waliwateka takriban watu 250, wakiwemo wanaume, wanawake na watoto na wazee. Kiasi cha watu 110 wameachiliwa na wengine 110 wanashikiliwa, na huku watu 20 hivi ambao waliuawa wakiwa wanashikiliwa, mamlaka za Israeli zinasema. Mateka walioachiliwa wametoa maelezo ya kuhuzunisha walioshuhudia wakati wakishikiliwa, ambapo wengine walipewa chakula kidogo, kulazwa sakafuni na kuhofia maisha yao wakati wote huo. Shambulizi lililofanywa na Hamas Oktoba 7 kwa kuvuka Gaza na kuingia kusini mwa Israel lilisababisha vita na waliwauwa kiasi cha watu 1,200. Mashambulizi ya Israel ya angani, ardhini na baharini huko Gaza yameuwa zaidi ya Watu 23,000, theluthi mbili kati ya hao ni wanawake na watoto, kulingana na Wizara ya Afya katika eneo la Gaza linalosimamiwa na Hamas. Idadi hiyo haitofautishi kati ya raia na wanamgambo. - AP #Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #westernwall #mateka #jeshi
Israeli: Maelfu ya watu wakusanyika kufanya maombi ya kuachiliwa kwa mateka
- 14 Aug 2025 - At least 22 migrants died after two boats overturned in the Mediterranean on Wednesday, with more still missing and some 60 survivors, humanitarian agencies said.
- 14 Aug 2025 - The summit between US President Donald Trump and his Russian counterpart Vladimir Putin will be held at Joint Base Elmendorf-Richardson in Alaska, a White House official said Wednesday.
- 14 Aug 2025 - Only Ukrainian President Volodymyr Zelensky can negotiate a land deal with Russia in an effort to end Moscow's war against his country, French President Emmanuel Macron said on Wednesday.
- 14 Aug 2025 - South Africa's unemployment rate rose for the second quarter in a row, official data showed on Tuesday, highlighting one of the biggest challenges faced by the country's year-old coalition government.
- 14 Aug 2025 - Workers at the Kenya Pipeline Company (KPC) are demanding job security assurances as the government moves to sell a majority stake in the State corporation.
- 14 Aug 2025 - "Parliament must be called out. Something is going on in our Legislature that we must address. Money is being demanded from the Executive, governors, and ministers—especially those who appear before parliamentary committees for accountability,” said…
- 14 Aug 2025 - The Kenya National Commission on Human Rights (KNCHR) wants victims of protests and demonstrations to receive more than just monetary compensation.
- 14 Aug 2025 - Kenyan exports set for battle against Team Kenya stars once again
- 14 Aug 2025 - Lack of electricity delays handing-over of Gichugu housing project
- 14 Aug 2025 - Housing to remain key at World Urban Forum