- 118 views
Itabidi Wakenya wavute subira kabla ya kupata taarifa kamili kuhusu kilichosababisha kifo cha Rita Waeni, mwanafunzi wa umri wa miaka 20 ambaye mwili wake ulikatwakatwa katika chumba kimoja cha malazi mtaa wa Roysambu kaunti ya Nairobi. Baada ya uchunguzi wa mwili huo, mwanapatholojia wa serikali Johansen Oduor alisema mwili wa Rita ulikatwakatwa kwa msumeno, japo hakujaribu kujinasua. Kwa mujibu wa Oduor, tukio hilo ni nadra sana na wanapatholojia wenzake wamechukua sampuli kwa ajili ya uchunguzi wa kina katika maabara ya serikali.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Itachukua muda kubaini kilichosababisha kifo cha Rita Waeni, asema mwanapatholojia mkuu wa serikali
- - 🔴 LIVE || NEWS NOW ››
- - RELIEF AID ››
- 14 May 2024 - High Court Judge Chacha Mwita has declined to grant former Treasury Cabinet Secretary Ukur Yatani anticipatory bail.
- 14 May 2024 - Busia Woman Rep Catherine Omanyo has claimed that someone tried to bribe her to write a favourable report in the impeachment case against embattled Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi.
- 14 May 2024 - Three French prison officers were killed and two others wounded Tuesday in an attack on a prison van transporting an inmate who escaped, a police source told AFP.
- 14 May 2024 - Majority Leader in the National Assembly Kimani Ichungwah has pledged support for the courageous residents of Korogocho, who risked their lives to save a 14-year-old girl swept away by floodwaters during the recent flooding crisis in the country.
- 14 May 2024 - Some children from Kibukure village in Mwea, Kirinyaga County failed to resume school as directed by the government after water washed away a bridge at Kiwe River.
- 14 May 2024 - Samson Omwanza Ombati has been sworn in as a Member of the Judicial Service Commission (JSC) representing the Law Society of Kenya.
- 14 May 2024 - Samson Omwanza Ombati has been sworn in as a Member of the Judicial Service Commission (JSC) representing the Law Society of Kenya.
- 14 May 2024 - The Kenya Meteorological Department has urged Kenyans to prepare for continued rainfall in the highlands east and west of the Rift Valley, the Lake Victoria Basin and the Rift Valley this week.
- 14 May 2024 - The current MD has held the position since 2015 and has been representing the institution.
- 14 May 2024 - Last week, the authority closed some roads due to flooding caused by the ongoing heavy rains.