Ivory Coast Yaibuka Kidedea Fainali ya AFCON 2023
Sebastien Haller alifunga bao la ushindi dakika tisa kabla ya mchezo kumalizika wenyeji Ivory Coast wakinyakua taji la tatu la Kombe la Mataifa ya Afrika kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Nigeria kwenye mchezo wa fainali Uwanja wa Alassane Ouattara mjini Abidjan Jumapili (Februari 11).
Ni ushindi ambao haungetarajiwa na wengi siku chache zizlizopita hasa kutokana na kwamba timu hiyo ilipata vipigo viwili katika katika awamu ya makundi, kikiwemo kile cha mabao 4-0 kutoka kwa Equatorial Guinea, kabla ya kujizatiti katika raundi ya mchujo.
Bao la kichwa la William Troost-Ekong liliiwezesha Nigeria kuongoza kipindi cha kwanza lakini mchezaji machachari wa Ivory Coast, Franck Kessie alisawazisha.
Wenyeji Ivory Coast walilazimika kutoka nyuma mara kadhaa kwenye dimba hilo na walifanya hivyo tena wakati Haller alipoelekeza krosi ya Simon Adingra wavuni, jambo lililomfurahisha sana kocha wake Emerse Fae, ambaye alianza mchuano huo kama msaidizi wa Mfaransa Jean-Louis Gasset aliyetimuliwa.
Mafanikio ya Ivory Coast yanawafanya kuongeza taji la mwaka huu kwa mengine waliyoyapata mwaka wa 1992 na 2015, wakati ushindi huu pia unawaruhusu kuungana na Nigeria kwa ushindi wa tatu wa Kombe la Mataifa kwa jumla.
Ni Misri, Cameroon na Ghana pekee ambazo zimeshinda taji hilo mara nyingi zaidi.
Ivory Coast imekuwa nchi mwenyeji wa kwanza kushinda AFCON tangu 2006.
- Reuters
#afcon #totalenergiesafcon2023 #soccer #football #africa #news #voaafrica
26 Jul 2024
- The case of Rex has taken yet another twist, after IPOA failed to identify the officer, now the family says the body was tampered with.
26 Jul 2024
- Kalonzo made the revelations at a gathering in Nyeri County which was also attended by other senior politicians.
26 Jul 2024
- Trusted by President Ruto, the Central Bank insider was tasked with rebuilding the country's coffers, which the Kenyan Kwanza administration claimed were empty in 2022.
27 Jul 2024
- Team Kenya, led by Malkia strikers captain Triza Atuka and African fastest man in 100m Ferdinand Omanyala, was among the over 200 countries which paraded across River Seine during the opening ceremony of the 33rd Olympic Games held on Friday night along…
27 Jul 2024
- Azimio leaders accused of plotting coup against Raila Odinga
27 Jul 2024
- Teachers' pay rise plan in limbo as Treasury cuts Sh10b from budget
27 Jul 2024
- My father sold land but we lost it all, man says in Finland saga trial
27 Jul 2024
- Panic in Kihiu Mwiri as residents face eviction
27 Jul 2024
- The fate of investigations into the death of Rex Masai, who was allegedly felled by police bullets during the Anti-Finance Bill protests, remains uncertain after a key witness backed out of the case.
27 Jul 2024
- A 90-year-old man from Kilifi has been sentenced to 30 years in prison for defiling his 6-year-old stepdaughter. Kea Katana Mdudu is said to have committed the crime on July 16, 2019, in Mwaeba Pangani village, Tsangalaweni, Ganze Sub County, Kilifi…
27 Jul 2024
- Governor Wavinya Ndeti has announced Ksh80 million table banking fund at the grand launch of the women-only, Makima Tithers Sacco. The event, aimed at empowering women economically, saw enthusiastic participation from local women entrepreneurs and…
27 Jul 2024
- Nadal, Djokovic could meet in second round, Kerber to retire after Paris 2024
27 Jul 2024
- Defending champions and series holders KCB are in Pool 'A' alongside Nondies, Homeboyz and Impala.