- 36 views
Jaji mkuu Martha Koome amesikitishwa na kile amekitaja kuwa utendakazi mbovu wa mwanakandarasi aliyepewa jukumu la ujenzi wa jengo la kisasa la mahakama mjini Mombasa la thamani ya mamilioni ya pesa Koome alisikitika kwamba fedha zilizolipwa mwanakandarasi huyo ni kama zilizopotea baada ya ripoti za uchunguzi wa tume ya huduma ya mahakama kutathmini hali ya jengo hilo linalokadiriwa kugharimu shilingi milioni 445. Jengo hilo la ghorofa nne limejengwa kwenye kipande cha ardhi chenye ukubwa wa ekari 3.6 mkabala wa majengo ya awali ya mahakama yaliyojengwa mnamo mwaka 1984.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channell: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #marthakoome #darubini
Jaji Mkuu Koome akosoa utendakazi wa mkandarasi wa ujenzi wa mahakama Mombasa
- 24 Apr 2024 - Health sector stakeholders have convened a meeting with the Social Health Authority (SHA) to discuss the implementation of the Social Health Insurance Fund (SHIF).
- 24 Apr 2024 - President William Ruto has announced that the dualling of the Nairobi-Nakuru highway will be launched by the end of 2024.
- 24 Apr 2024 - The category of the Secondary School that your child attends largely determines their success or failure, a survey by the Usawa Agenda lobby group has found.
- 24 Apr 2024 - The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has released CCTV pictures of the main suspect behind the gruesome murder of 20-year-old university student Rita Waeni.
- 24 Apr 2024 - In the busy Kenyatta market, vinyl records hanging from the roof lead you to Stall B5, what I would call an antique store.
- 24 Apr 2024 - Heavy rains have rocked various regions in the country, with the Kenya Meteorological department predicting that the situation will continue through May 2024.
- 24 Apr 2024 - Four bodies of suspected flood victims have been retrieved from Mathare River following heavy rains witnessed in Nairobi on Tuesday.
- 24 Apr 2024 - Police in Uganda’s eastern Kikuku district have arrested seven family members who were captured on video flogging a teenage Muslim girl for allegedly attending prayers in church.
- 24 Apr 2024 - The Utamaduni Day public holiday has been renamed to Mazingira Day following President William Ruto's assention to the Statute Law (Miscellaneous Amendment Bill), 2024.
- 24 Apr 2024 - In recent years, the economic rivalry between the U.S. and China has intensified, leading to a surge in allegations and counterclaims. One recurring assertion made by the U.S. is that China suffers from “overcapacity” in various industries, ranging from…