- 36 views
Jaji mkuu Martha Koome amesikitishwa na kile amekitaja kuwa utendakazi mbovu wa mwanakandarasi aliyepewa jukumu la ujenzi wa jengo la kisasa la mahakama mjini Mombasa la thamani ya mamilioni ya pesa Koome alisikitika kwamba fedha zilizolipwa mwanakandarasi huyo ni kama zilizopotea baada ya ripoti za uchunguzi wa tume ya huduma ya mahakama kutathmini hali ya jengo hilo linalokadiriwa kugharimu shilingi milioni 445. Jengo hilo la ghorofa nne limejengwa kwenye kipande cha ardhi chenye ukubwa wa ekari 3.6 mkabala wa majengo ya awali ya mahakama yaliyojengwa mnamo mwaka 1984.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channell: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #marthakoome #darubini
Jaji Mkuu Koome akosoa utendakazi wa mkandarasi wa ujenzi wa mahakama Mombasa
- - Duniani Leo ››
- 22 Sep 2023 - A 44-year-old man convicted of the 1996 rape and murder of a dance student was executed by lethal injection in Oklahoma on Thursday, officials said.
- 22 Sep 2023 - Armed robbers on Thursday night shot and injured a cereal trader at Kagio town in Kirinyaga County causing pandemonium as traders and residents abandoned their businesses to scamper for safety.
- 22 Sep 2023 - Ukrainian officials said Thursday that Russian forces carried out aerial attacks on multiple cities overnight, killing at least two people.
- 22 Sep 2023 - The body of a 26-year-old man who slipped and fell into Gicheru Water Falls in Kirinyaga County has finally been retrieved
- 22 Sep 2023 - Restaurant chain McDonald’s is being sued over a hot coffee spill, again.
- 22 Sep 2023 - Along the banks of the Kalambo River in Zambia near Africa's second-highest waterfall, archaeologists have excavated two logs of the large-fruited bushwillow tree that were notched, shaped and joined nearly half a million years ago.
- 22 Sep 2023 - A Muslim woman has been sentenced to two years in prison under Indonesia’s blasphemy law over a video she shared on TikTok which showed her reciting an Islamic prayer before trying out pork while visiting the tourist island of Bali.
- 22 Sep 2023 - A Nairobi court has ruled that former Kiambu Governor Ferdinand Waititu and his wife Susan Wangari have a case to answer over the irregular awarding of a Ksh.588 million road tender in Kiambu County in February 2018. Chief Magistrate Timothy Nzioki said…
- 22 Sep 2023 - Reading Time: < 1 minute Here is what you need to know in order to get up to speed with today’s happenings. 1. International day […]
- 22 Sep 2023 - He was found dead outside his apartment on September 9