- 36 views
Jaji mkuu Martha Koome amesikitishwa na kile amekitaja kuwa utendakazi mbovu wa mwanakandarasi aliyepewa jukumu la ujenzi wa jengo la kisasa la mahakama mjini Mombasa la thamani ya mamilioni ya pesa Koome alisikitika kwamba fedha zilizolipwa mwanakandarasi huyo ni kama zilizopotea baada ya ripoti za uchunguzi wa tume ya huduma ya mahakama kutathmini hali ya jengo hilo linalokadiriwa kugharimu shilingi milioni 445. Jengo hilo la ghorofa nne limejengwa kwenye kipande cha ardhi chenye ukubwa wa ekari 3.6 mkabala wa majengo ya awali ya mahakama yaliyojengwa mnamo mwaka 1984.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channell: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #marthakoome #darubini
Jaji Mkuu Koome akosoa utendakazi wa mkandarasi wa ujenzi wa mahakama Mombasa
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction