Skip to main content
Skip to main content

Jaji Mkuu Martha Koome atangaza kuanzishwa kwa tawi la mahakama ya rufaa Kakamega

  • | Citizen TV
    857 views
    Duration: 2:27
    Jaji Mkuu Martha Koome atangaza kuanzishwa kwa tawi la mahakama ya rufaa Kakamega na mahakama ya madai madogo Mumias, ili kuboresha upatikanaji wa haki na kupunguza ucheleweshaji wa kesi.