- 149 viewsJaji Mohammed Abdullahi Warsame ameapishwa rasmi kama jaji wa mahakama ya upeo. kwenye hafla hiyo iliyofanyika katika ikulu ya nairobi, rais William Ruto alimtaja jaji Warsame kama ambaye amechangia pakubwa tasnia ya uanasheria. rais Ruto amemtaja warsame kama mwenye maadili ambayo yataimarisha idara ya mahakama na imani ya wananchi kwa idara hiyo. Warsame ni jaji wa 14 kuhudumu katika mahakama ya upeo.