Skip to main content
Skip to main content

Jamii ndogo za Isaaq na Harti zalalamikia dhulma wakidai kupokonywa ardhi ya zaidi ya ekari 70

  • | Citizen TV
    243 views
    Duration: 1:44
    Jamii ndogo za Isaaq na Harti ziizoishizo Isiolo zamlilia rais awalinde kutokana na kukandamizwa na kukandamizwa na tume ya ardhi nchini NLC wakisema tume hii imekuwa ikipuuza haki zao za kumiliki ardhi kwenye kaunti ya Isiolo.