- 203 viewsBaadhi ya sehemu za mashariki mwa Sudan zimekumbwa na mafuriko baada ya bwawa kuvunjika na kuharibu vijiji 20 na kusababisha vifo vya watu 30. Mvua kubwa zimesababisha mafuriko yaliyojaza bwawa la Arbaat mnamo Jumapili, kilomita 40 kaskazini mwa Port Sudan, mji ambao sasa unatumika kama makao makuu ya serikali, wanadiplomasia, mashirika ya misaada na watu waliokoseshwa makazi kutokana na vita vya miezi kadhaa kati ya jeshi na kikosi cha kijeshi cha RSF. Umoja wa Mataifa umesema kwamba karibu watu 50,000 wameathiriwa na mafuriko, na kwamba huenda idadi hiyo inajumuisha tu watu waliokuwa wanaishi magharibi mwa bwawa hilo na kwamba si rahisi kuwafikia watu walio mashariki mwa bwawa. - Reuters #sudan #mafuriko #vifo #maziko #uharibifu #vijiji #portsudan #rsf #jeshi #voa #voaswahili
Jamii yazika miili ya waliofariki katika mafuriko jimbo la Red Sea nchini Sudan
- 6 Aug 2025 - Busia Senator Okiya Omtatah has outlined a bold vision for Kenya should he clinch the presidency in the 2027 General Election.
- 6 Aug 2025 - Busia Senator Okiya Omtatah has launched a scathing attack against President William Ruto, questioning his integrity, and suitability to hold public office.
- 6 Aug 2025 - Firebrand Busia Senator and 2027 presidential hopeful Okiya Omtatah has declared his net worth to be in the range of Ksh.100 million to Ksh.200 million.
- 6 Aug 2025 - A section of Members of Parliament allied to the Kenya Kwanza administration have strongly rejected a report by the Kenya Human Rights Commission (KHRC) that called for the scrapping of the Hustler Fund.
- 6 Aug 2025 - A 14-year-old who was on the verge of being married off in Kajiado County was rescued, amidst rising concerns of early child marriages during the school holiday season.
- 6 Aug 2025 - The building collapse that sparked Tanzania's jobs ban
- 6 Aug 2025 - How firm's bid to turn waste into cash is paying off
- 6 Aug 2025 - MPs threaten to impeach Mbadi, PS for 'contempt'
- 6 Aug 2025 - If he stabilises the economy, 2027 election will be Ruto's to lose
- 6 Aug 2025 - Why we should start thinking twice before having children