- 178 viewsWatu 157 wamefariki Jumatatu katika maporomoko ya ardhi katika eneo la mbali la Kusini mwa Ethiopia, maafisa wa eneo hilo wamesema, wakionya kwamba idadi ya vifo inaweza kuongezeka. “Zaidi ya miili 55 ilipatikana kutokana na maporomoko hayo, taarifa kutoka idara ya masuala ya mawasiliano ya eneo la Gofa ilisema, ikimnuku kiongozi wa eneo hilo Dagmawi Zerihun, ambaye alionya kuwa idadi ya “vifo bado inaweza kuongezeka”. Maporomoko hayo yalitokea saa nne asubuhi majira ya huko kufuatia mvua kubwa katika eneo lenye milima la jimbo la kusini mwa Ethiopia, Dagmawi alisema. Wanawake na watoto ni miongoni mwa waliofariki, alisema, akiongeza kuwa shughuli za kuwatafuta manusura “zimekuwa zikiendelea”. Picha zilizosambazwa kwenye mtandao wa Facebook na chombo cha habari kinachoshirikiana na serikali, Fana Broadcasting Corporate zilionyesha mamia ya watu karibu na eneo la tukio lililoharibika lenye udongo mwekundu ulioporomoka. Eneo la Gofa lipo umbali wa kilomita 450 kutoka mji mkuu Addis Ababa, mwendo wa masaa 10 kwa kutumia gari. Jimbo hilo la kusini mwa Ethiopia limeathiriwa na mvua za muda mfupi za msimu kati ya mwezi Aprili na mapema mwezi Mei ambazo zimesababisha mafuriko na watu wengi kuhama makazi yao, kulingana na shirika la Umoja wa Mataifa la kutoa misaada ya dharura ya kibinadamu (OCHA). - AFP #voa #voaswahili #ethiopia #janga #maporomoko #matope #vifo #uokoaji
Janga la Maporomoko ya Matope Yaua Watu 157
- - 🔴 TV47 LIVE ››
- - 2025 08 09 21 18 16 ››
- 10 Aug 2025 - Energy Principal Secretary Alex Wachira has said that electricity vandals were on the rise thereby causing economic sabotage in the country disrupting services and endangering communities and hence called on security to put efforts in tackling the vice.
- 10 Aug 2025 - India shot down five Pakistani fighter jets and one other military aircraft during clashes in May, India's air force chief said on Saturday, the first such statement by the country months after its worst military conflict in decades with its neighbour.
- 10 Aug 2025 - Haiti's former national palace security chief, Vladimir Paraison, was appointed national police chief by the country's transitional government on Friday, as the Caribbean nation looks to battle armed gangs that have displaced over a million people.
- 10 Aug 2025 - The commerce department has started issuing licenses to Nvidia to export its H20 chips to China, a U.S. official told Reuters on Friday, removing a significant hurdle to the AI bellwether's access to a key market.
- 10 Aug 2025 - Colombian president Gustavo Petro announced Friday the start of fresh talks with Clan del Golfo, the country's largest drug-trafficking gang and the world's largest producer of cocaine.
- 10 Aug 2025 - DP Kindiki's national economic empowerment programme stirs debate
- 10 Aug 2025 - Pride is our nation's real pandemic and only humility can save leaders
- 10 Aug 2025 - 'Dr Aden' fears journos' questions more than a cold July morning
- 10 Aug 2025 - How Ruto's goofs created a US-China dilemma
- 10 Aug 2025 - Trump's hand in relocation of UN bodies from New York to Nairobi