JARIDA LA WIKIENDI- JITIHADA ZA SOMALIA KUJIUNGA NA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

  • | VOA Swahili
    210 views
    Wiki hii katika Jarida la Wikiendi tunaangazia suala la Somalia kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.