Skip to main content
Skip to main content

Je, Arsenal wameanza kupoteza mwelekeo wa ubingwa wa Premier League msimu huu?

  • | BBC Swahili
    13,040 views
    Duration: 1:16
    Mpaka sasa, Arsenal wana alama 70 baada ya mechi 33. Lakini nyuma yao, Manchester City ambao wengi huwaita “jinamizi” la mbio za ubingwa wanawafuata kwa karibu sana wakiwa na alama 67 baada ya mechi 32. Tofauti ya alama tatu tu, maana yake ni kwamba mechi moja pekee inaweza kubadilisha kila kitu. Sasa swali linabaki: Kwa nini mashabiki wa Gunners wanaanza kupata mchecheto mapema sana, je ni presha ya historia, uzoefu wa City, au hofu ya kupoteza ubingwa dakika za mwisho? Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw