Skip to main content
Skip to main content

Je, Manchester United watafanikiwa kutimiza hilo kabla ya msimu kumalizika?

  • | BBC Swahili
    9,379 views
    Duration: 1:34
    Soka mara nyingi huwa zaidi ya matokeo ya uwanjani na inaweza kuwa ahadi, uvumilivu na uaminifu wa mashabiki kwa timu zao. Frank Ilett ni shabiki wa Man United aliyeweka ahadi ya kutokunyoa mpaka timu yake ishinde michezo mitano mfululizo. Shabiki Huyu hajanyoa toka Oktoba 2024 na bado anasubiri Manchester United wafikishe ushindi wa tano mfululizo ili hatimaye aweze kunyoa nywele zake - - #bbcswahili #soka #manchesterunited #kandanda Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw