Je mtu yeyote anaweza kuwa rais wa Marekani?
Hapana.
Kazi iko wazi kwa wale wana sifa zilizotajwa katika Katiba ya Marekani.
Mahitaji:
Awe na Umri wa miaka 35
Awe ameishi ndani ya Marekani kwa miaka 14.
Awe raia mzaliwa wa Marekani.
Wasisi wa taifa walikuwa na matumaini umri huenda ukaleta busara na ukomavu.
Wakati Katiba ilipokuwa inapitishwa umri wa kuishi ulikuwa chini ya miaka 40
Ukazi na uraia:
Mahitaji haya yalikuwa na azma ya kukatisha ushawishi wa nje.
Wataalamu wa kisheria wanaamini uraia wa kuzaliwa unahusu mtu aliyezaliwa nchini Marekani au aliyezaliwa na wazazi ambao ni Wamarekani.
Lakini Mahakama ya Juu Marekani haijawahi kutoa maamuzi rasmi kuhusu ufafanuzi wa suala hili.
#uchaguzi #marekani #upigajikura #mhamiaji #greencard #raia #ukaaziwakudumu #voa #voaswahili #sifa #kugombea #nafasiyaurais #sifa #wazazi #kuzaliwa
15 Jan 2025
- The plans are part of strengthening the energy security in the country.
15 Jan 2025
- The patients could not take the frustrations they have been facing under SHA anymore.
15 Jan 2025
- Mbadi has given Kenyans a deadline to comment on the budget estimates.
16 Jan 2025
- Qatar and the United States announced Wednesday a ceasefire and hostage-release deal between Israel and Hamas, adding they hoped it would pave the way for a permanent end to the war in Gaza.
16 Jan 2025
- City Hall has directed matatu owners to vacate stages during designated cleaning hours at night to allow county staff to conduct thorough cleaning. In a notice issued by Geoffrey Mosiria, the County Chief Officer for Environment yesterday the county…
16 Jan 2025
- Former police spokesman Charles Owino has rubbished Public Service Cabinet Secretary Justin Muturi's remarks that the National Intelligence Service (NIS) abducted his son.
16 Jan 2025
- A fire broke out at the University of Nairobi’s Taifa Hall on Wednesday night, causing significant damage to the building.
16 Jan 2025
- It is in humanity’s best interest to support people who are pressing governments to meet their obligations on climate change, whether they are protesting on the street, bringing cases to court or even carrying out acts of civil disobedience. Climate and…
16 Jan 2025
- The family of Conrad Nyabuto, who was allegedly stabbed to death by his girlfriend in Ruiru, Kiambu County, is seeking justice.
16 Jan 2025
- Head of Communications John Orindi says the inferno whose cause is still unknown, has been contained.
16 Jan 2025
- A family from Nyamira County is appealing for compensation from the government, following the death of their kin in the infamous Mtongwe ferry tragedy.
16 Jan 2025
- Property sector tops money laundering list in new report
16 Jan 2025
- Wiper kicks out Maalim amid call for Ruto to resign