- 125 viewsSanaa iliyojengwa inayowakilisha Malengo ya Maendeleo Endelevu 17 inaonyeshwa makao makuu ya Umoja wa Mataifa wakati kikao cha 78 cha Baraza Kuu kikiendelea huko New York. SDGs hizo zinatambulisha matatizo ya kimataifa na kuyapa malengo husika kama vile Hakuna Umaskini, Kutokomeza Njaa, Kupunguza Kutokuwepo Usawa, Hatua za Kukabiliana na Mabadiliko ya Hali ya Hewa, na mengineyo. The SDG Summit was held on Sept. 18-19 during the high-level week. Mkutano huo wa SDGs umefanyika kuanzia Septemba 18-19 katika wiki ya vikao vya ngazi ya juu. #unga #voaunga #unga78 - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Je, unafahamu Malengo ya Maendeleo Endelevu 17 yanawakilisha matatizo gani?
- - Duniani Leo ››
- 16 Jul 2025 - Indonesian authorities have detained 12 suspects after uncovering an alleged baby trafficking ring that sent more than a dozen infants to Singapore, a police official told AFP on Tuesday.
- 16 Jul 2025 - U.S. President Donald Trump said he believed Britain would fight to defend the United States but suggested he could not say the same for the European Union, a factor in his decision not to sign a trade deal with the bloc.
- 16 Jul 2025 - The Kenyan government’s long-standing ambition to merge State corporations is quietly unfolding – not through public declarations or major structural shifts, but through a calculated administrative freeze. Government agencies earmarked for consolidation…
- 16 Jul 2025 - MPs express outrage and demand answers from Ministry of Education
- 16 Jul 2025 - Several of them have personally reached out to the leader in a bid for reconciliation.
- 16 Jul 2025 - The head of state aims to reinstate at least 12 clauses that had either been removed or diluted.
- 16 Jul 2025 - The MP has called for reduced fuel prices.
- 16 Jul 2025 - The UN is planning to open three new global offices in Nairobi by the end of 2026
- 16 Jul 2025 - Speaker terms Ruto's efforts the most ambitious since independence
- 16 Jul 2025 - The government will issue a policy directive to the Inspector General of Police on the use of force and firearms by law enforcement officers following the raging debate and national concerns on the use of force by officers. Interior Cabinet Secretary…