Skip to main content
Skip to main content

Jengo la ghorofa 22 laporomoka Westlands

  • | Citizen TV
    15,042 views
    Duration: 36s
    Wajenzi wawili wamekwama ndani ya vifusi vya jengo la ghorofa 22 lililoporomoka usiku wa kuamkla leo katika eneo la Westlands hapa Nairobi. Shirika la msalaba mwekundu limeripoti kuwa juhudi za dharura zinaendelea ili kuwafikia waathiriwa hao baada ya wenzao wawili kuokolewa bila majeraha yoyote.