Jeshi la Israel yatoa video ya wanamgambo wa Hamas wakiwapeleka Mateka hospitali
Jeshi la Israel siku ya Jumapili (Novemba 19) lilitoa kanda ya video iliyoonyesha picha ya kile walichosema walikuwa wanamgambo wa Kiislamu wa Hamas wakiwapeleka mateka kutoka Israel na kuingia katika Hospitali ya Shifa siku hiyo ya shambulizi la Oktoba 7.
Video ilionyeshwa na msemaji mkuu Admirali Daniel Hagari ambaye alionekana kulionyesha kundi la wanaume wakiendeshwa kichura kuingia katika hospitali, na kuwashangaza wafanyakazi wa afya. Kanda ya pili ilimuonyesha mwanamme aliyejeruhiwa akiwa katika machela. Mwanamme mwingine aliyekwua karibu, akiwa na nguo za kiraia, na bunduki ya kivita.
5 Jul 2025
- Doctors have credited the 'folds' with playing a crucial role in one's hearing.
5 Jul 2025
- Gachagua said this during her aunt's burial ceremony.
5 Jul 2025
- ODM was responding to The Standard Media's 'Raila's Turf Rebels' article.
6 Jul 2025
- The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
5 Jul 2025
- Opposition leaders have come out guns blazing to condemn President William Ruto's stance on constructing a church within the State House precincts, using what the president describes as his own money.
5 Jul 2025
- A family in Eldoret, Uasin Gishu County, is mourning the loss of their son, Timothy Bwibo, who succumbed to gunshot injuries on Friday night.
5 Jul 2025
- Former Meru Governor Kawira Mwangaza has been named the new party leader of Umoja na Maendeleo Party, taking over from Charles Wambora Mugambi.
5 Jul 2025
- President William Ruto has replaced former Kesses Member of Parliament Dr. Swarup Mishra as the chair of the Kenya BioVax Institute, three months after suspending him.
5 Jul 2025
- Ruto has appointed John Munyu as the Non-Executive Chairperson of the Pharmacy and Poisons Board.
5 Jul 2025
- The general claimed Kenyan police have not achieved tangible progress despite being on the ground for months.
5 Jul 2025
- The youth leader was rearrested a few minutes after being released on cash bail.
5 Jul 2025
- The ex-DP, while speaking at a funeral, claimed his Kikuyu community was being targeted.
5 Jul 2025
- Duale urged counties and health workers to help enforce the policy.