- 2,702 viewsJeshi la Israeli limesema Jumatano wanajeshi wake ambao wamekuwa wakiendesha operesheni za kijeshi katika eneo la Khan Younis kwa siku kadhaa zilizopita wamegundua silaha mbalimbali, nyaraka za kijasusi na mahandaki. Hivi sasa Jeshi hilo linajikita katika operesheni kubwa mbalimbali huko kusini mwa mji wa Khan Younis na kambi za wakimbizi zilizoko katikati ya Gaza ambazo ziko tangu mwaka 1948 zikizunguka mahali Israel ilipoundwa. Mamia ya watu wameuawa katika siku za karibuni kutokana na mashambulizi yanayoendelea katika eneo lote hilo, ikiwemo maeneo ya mbali kusini ambapo watu waliambiwa waende kutafuta hifadhi. Tangu vita ilipoanza, mashambulizi ya Israel yameuwa zaidi ya Wapalestina 23,000, ikikadiriwa ni asilimia 1 ya idadi ya watu katika eneo hilo, na zaidi ya watu 58,000 wamejeruhiwa, kulingana na Wizara ya Afya katika eneo la Gaza linalosimamiwa na Hamas. Takriban theluthi mbili ya waliofariki ni wanawake na watoto, maafisa wa afya wamesema. Idadi ya vifo haitofautishi kati ya wapiganaji na raia. Katika shambulizi la Oktoba 7, ambapo Hamas walivishitukiza vikosi vya ulinzi mbalimbali vya Israel na kuvamia jamii kadhaa, wanamgambo hao wa Palestina waliwauwa watu 1,200, wengi wao raia. Waliwateka kiasi cha wengine 250, karibu nusu yao waliachiliwa huru katika kipindi cha wiki moja cha kusitishwa mapigano mwezi Novemba. #Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #khanyounis
Jeshi la Israeli likiendesha operesheni zake eneo la Khan Younis
- 14 Aug 2025 - At least 22 migrants died after two boats overturned in the Mediterranean on Wednesday, with more still missing and some 60 survivors, humanitarian agencies said.
- 14 Aug 2025 - The summit between US President Donald Trump and his Russian counterpart Vladimir Putin will be held at Joint Base Elmendorf-Richardson in Alaska, a White House official said Wednesday.
- 14 Aug 2025 - Only Ukrainian President Volodymyr Zelensky can negotiate a land deal with Russia in an effort to end Moscow's war against his country, French President Emmanuel Macron said on Wednesday.
- 14 Aug 2025 - South Africa's unemployment rate rose for the second quarter in a row, official data showed on Tuesday, highlighting one of the biggest challenges faced by the country's year-old coalition government.
- 14 Aug 2025 - Workers at the Kenya Pipeline Company (KPC) are demanding job security assurances as the government moves to sell a majority stake in the State corporation.
- 14 Aug 2025 - "Parliament must be called out. Something is going on in our Legislature that we must address. Money is being demanded from the Executive, governors, and ministers—especially those who appear before parliamentary committees for accountability,” said…
- 14 Aug 2025 - The Kenya National Commission on Human Rights (KNCHR) wants victims of protests and demonstrations to receive more than just monetary compensation.
- 14 Aug 2025 - Housing to remain key at World Urban Forum
- 14 Aug 2025 - Bulk buyers: What the property market misses in turnaround plan
- 14 Aug 2025 - KCB shareholders set for record Sh13b dividend boom on half-year profit jump