Jinsi wajasiriamali wanawake wanavyochangia kuhifadhi mazingira
Wanawake wawili wajasirimali nchini Msumbiji wameanzisha biashara ambayo itasaidia kupambana na mabadiliko ya hali ya hewa na kupunguza uchafu wa mazingira, Amarilis Gule anaripoti kutoka katika mji mkuu, Maputo.
Vania Lazaro hupenda kuongeza mmea mpya katika bustani yake kila inapowezekana. Zaidi ya miezi sita iliyopita, amekuwa akijaribu kufanya majaribio ya mbolea mpya katika bustani yake ya maua na mboga nyumbani kwake Maputo, Msumbiji. Anasema anaishukuru bidhaa hiyo — inayoitwa N'toko Organic — mimea yake ina afya...
Dima Jone si mwanamke pekee anayeendesha biashara ya mbolea ya asili nchini Msumbiji. Takriban miaka mitano iliyopita, Karina Jamal alianzisha Koko Boxes, biashara ambayo ilikuwa ikisambaza mbolea ya asili na upakiaji na mifuko ya mazingira rafiki. Jamal amesema anataka kuanzisha biashara thabiti wakati akiwahamasisha wanawake wengine.
#wanawake #wajasiriamali #msumbiji #biashara #haliyahewa #uchafu #mazingira #amarilisgule #karinajamal
1 May 2024
- The fire broke out on Wednesday evening.
1 May 2024
- The raid comes days after a terrorist attack was reported in Mandera County.
1 May 2024
- In this Newsletter, we are covering the National Assembly's push for NTSA to handle plane and train crashes as well as a Ksh50,000 fine for road users including witnesses.
2 May 2024
- The former Prime Minister has lined up a series of engagements, including with foreign diplomats.
2 May 2024
- The body of the officer was found after members of the public reported that a motor vehicle had submerged at River Kware.
It was then that police visited the scene and retrieved his body.
2 May 2024
- They will be subject to travel bans and asset freezes under the UK's Global Anti-Corruption sanctions regime.
2 May 2024
- Inadequate drainage systems stand as a damning testament to broken promises, leaving citizens exposed to the mercy of the elements.
2 May 2024
- In this battle between the government and Mother Nature, it is us, the ordinary citizenry, who are hurting.
2 May 2024
- Reading Time: 2 minutes The government has once again been caught flat-footed as floods sweep away Kenyans in the ongoing heavy rains, raising questions […]
2 May 2024
- I don't want another man to go through what I went through, domestic violent victim pleas for hotline funding
2 May 2024
- He left public office without a scandal and is regarded as Kenya's most independent-minded AG.
2 May 2024
- Families are displaced and property lost as several rivers burst their banks following heavy rains across the country.
2 May 2024
- President insists all Kenyans must pay their taxes and urges doctors to go back to work.