- 350 viewsDuration: 3:06Ligi kuu nchini inatarajiwa kuingia raundi yake ya 21 ila jina la mshambulizi wa Murang’a Seal Joe Waithira ndilo linaloimbwa kutokana na umahiri wake wa kuchana nyavu. Waithira ambaye pia ni nahodha wa kikosi hicho amepachika mabao 13 kufikia sasa. Mwanaspoti wetu luqman mahmoud na mengi.