Skip to main content
Skip to main content

John Mwangi anawapa kozi vijana wanaotorokea vita na ndoa za mapema Baringo and Elgeyo Marakwet

  • | Citizen TV
    938 views
    Duration: 5:35
    Mara nyingi vijana ambao hutoraka maeneo ya Baringo na Elgeyo Marakwet kwa sababu za kiusalama na ndoa za mapema, huangaika wakitafuta mbinu ya kujiendeleza kimaso na kuanza maisha upya . Lakini sasa kuna nuru gizani kwani John Mwangi anawachukua vijana hao na kuwapa nafasi za kusomea ususi wa nywele, kutengeneza makucha miongoni mwa mapambo mengine ya ulimbwende jijini eldoret kaunt ya Uasin Gishu.