- 1,534 views
Jopo la majaji watatu limeanza kusikiza kesi kuhusu sheria ya fedha ya mwaka 2023/24. Makundi mbalimbali ya wanaharakati na seneta wa Busia Okiya Omtatah waliwasilisha kesi kupinga utekelezaji wa sheria hiyo. Jaji Mugure Thande aliagiza sheria hiyo isitekelezwe, lakini jopo la majaji watatu wa mahakama ya rufaa wakabatilisha uamuzi huo baada ya serikali kudai kuwa inashindwa kutekeleza majukumu yake kutokana na ukosefu wa fedha. Jaji David Majanja, Christine Meoli na Lawrence Mugambi wanasikiza kesi ya leo.
Jopo la majaji watatu wa Mahakama Kuu laskiza kesi kuhusu sheria ya fedha ya mwaka 2023/24 [Part 2]
- - Duniani Leo ››
- 19 Aug 2025 - Vehicles used to smuggle goods to be handed to the State, says judge
- 19 Aug 2025 - Justice on sale: How racketeers at Busia courts are exploiting suspects, widows
- 19 Aug 2025 - DPP challenges the acquittal of terror suspects in explosives case
- 19 Aug 2025 - Parliamentary group meeting turned stormy due to leaders' sustained accusations of bribery against the National Assembly.
- 19 Aug 2025 - Group C- Painful exit awaits either Uganda, Algeria, or South Africa
- 19 Aug 2025 - What was presented to rice farmers as a solution to weeds has now become a nightmare.
- 19 Aug 2025 - It is important for Kenyans who intend to apply for a U.S. visa to be aware of recent
- 19 Aug 2025 - Land has a vital role in sustaining human communities, nurturing diverse ecosystems, and regulating the climate of our planet.
- 19 Aug 2025 - Hustler-in-Chief woos vast youth voting bloc with empowerment schemes, start-up giveaways and skills, credit and jobs
- 19 Aug 2025 - Auditor cites inaccurate record keeping, unsupported expenditures as among the challenges.