Jopo la uchunguzi wa dhuluma za kijinsia kuwasilisha ripoti kwa rais

  • | KBC Video
    12 views

    Watafiti, maprofesa na wataalamu wanaoshughulikia dhuluma za kijinsia kutoka vyuo vikuu nchini wanaonya kwamba kiwango cha dhuluma hizi kinazidi kuongezeka na kuathiri uchumi wa taifa, kuvuruga ndoa na kuwaachia waathiriwa udhia maishani. Katika mkutano na jopo linaloshughulikia dhuluma za kijinsia lililoongozwa na Dkt. Nancy Baraza, wasomi walibaini ufichuzi unaoibua wasiwasi ukionesha Kenya inapoteza shilingi bilioni 41 kila mwaka kutokana na visa vya dhuluma za kijinsia na mauaji ya wanawake. Wasomi hao waliopendekeza mifumo sawazishi ya kuripoti visa hivi pamoja na vituo jumuishi vya uokoaji ili kukabiliana na hali hii, walisema dhuluma za kijinsia sio suala la wanawake pekee, ila ni dharura ya kitaifa. Ben chumba na taarifa kwa kina.

    Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/

    #kbcchannel1 #news #kbclive

  • 22 Jul 2025 - It came as a surprise when police arrested activist Boniface Mwangi and went ahead to slap terrorism charges against him. Even more perplexing was that the office of the Director of Public Prosecutions allowed such an outrageous charge to stand in the…
  • 22 Jul 2025 - Kenya will require magic to achieve five key Sustainable Development Goals (SDGs) with just four years to the 2030 deadline. Data shows a staggering 500,000 newborns missing out on exclusive suckling annually. This means that the neonates are exposed to…
  • 22 Jul 2025 - Amendments to security laws pushed through during President Uhuru Kenyatta’s tenure have returned to haunt the very leaders who championed them, particularly those from the Mt Kenya region.  Despite fierce opposition from allies of then-opposition chief…
  • 22 Jul 2025 - A former State House staffer has denied allegations of inciting Elburgon residents to protest the government’s plan to build affordable housing on Michinda Primary School land in Nakuru County.  Lawyer Dann Mwangi appeared on Monday, July 21, 2025, at…
  • 22 Jul 2025 - Roots party leader George Wajackoya has weighed in on the vocal human rights activist Boniface Mwangi’s case, asserting
  • 22 Jul 2025 - When she narrowly escaped Female Genital Mutilation (FGM) many years back as a teenager in Meru County, Pauline Ntombura’s passion in the fight against the obsolete cultural practice started.  “My sister came to my rescue—she was already a victim…
  • 22 Jul 2025 - People’s Liberation Party (PLP) Deputy Leader Peter Kagwanja has declared a dramatic rise in the popularity of former
  • 22 Jul 2025 - In the remote, sun-scorched landscapes of northern Kenya, Marsabit County is emerging as a proud example of a region battling the harsh realities of climate change. Once flush with green pastures and abundant livestock, the area is now grappling with…
  • 22 Jul 2025 - Democracy for Citizens (DCP) party leader Rigathi Gachagua has affirmed his commitment to opposition unity ahead of the 2027 presidential
  • 22 Jul 2025 - Since President William Ruto (UDA/Kenya Kwanza) and ODM leader Raila Odinga entered into a political pact to form a broad-based government on March 7, 2025, the country’s political landscape has undergone a dramatic transformation. This shift has been…