- 12 views
Watafiti, maprofesa na wataalamu wanaoshughulikia dhuluma za kijinsia kutoka vyuo vikuu nchini wanaonya kwamba kiwango cha dhuluma hizi kinazidi kuongezeka na kuathiri uchumi wa taifa, kuvuruga ndoa na kuwaachia waathiriwa udhia maishani. Katika mkutano na jopo linaloshughulikia dhuluma za kijinsia lililoongozwa na Dkt. Nancy Baraza, wasomi walibaini ufichuzi unaoibua wasiwasi ukionesha Kenya inapoteza shilingi bilioni 41 kila mwaka kutokana na visa vya dhuluma za kijinsia na mauaji ya wanawake. Wasomi hao waliopendekeza mifumo sawazishi ya kuripoti visa hivi pamoja na vituo jumuishi vya uokoaji ili kukabiliana na hali hii, walisema dhuluma za kijinsia sio suala la wanawake pekee, ila ni dharura ya kitaifa. Ben chumba na taarifa kwa kina.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Jopo la uchunguzi wa dhuluma za kijinsia kuwasilisha ripoti kwa rais
- 30 May 2025 - U.S. Senate Foreign Relations Committee Chairman Jim Risch has condemned the recent surge in abductions across East Africa, warning that it reflects widespread impunity and a decay in governance.
- 30 May 2025 - MPs on Thursday grilled acting Kenya Airports Authority (KAA) Managing Director, Nicholas Bodo over dubious financial dealings involving the contentious Greenfield Terminal project at the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA).
- 30 May 2025 - Kanyenyaini Ward Member of County Assembly (MCA) Grace Nduta, along with three other suspects, has been arraigned over alleged involvement in the suspected stage-managed abduction of Juja Member of Parliament George Koimburi.
- 30 May 2025 - The government through the Betting Control and Licensing Board (BCLB) has introduced strict measures on gambling advertisements to promote responsible gambling and protect minors from being exploited.
- 30 May 2025 - Ruto said despite the vast marine resources available, Kenya has barely scratched the surface
- 30 May 2025 - He said the government is building 47 County Aggregation and Industrial Parks, one in each county
- 30 May 2025 - This move comes after a 30-day suspension of all gambling ads across media platforms, initiated on April 29, 2025.
- 30 May 2025 - The conversation highlighted the experiences of women married to high-profile political figures
- 30 May 2025 - Gambling ads near schools, religious institutions are also prohibited
- 30 May 2025 - The DP is on Saturday, May 31, 2025, making a fourth visit to the county in a month.