Juhudi za kusafisha Los Angeles, operesheni ya uokoaji zaendelea
Wiki moja baada ya moto mkubwa kuzuka California na kusambaa bila kudhibitiwa, watabiri wa hali ya hewa wanabashiri kwamba upepo mkali na hatari unaojulikana kama santa Ana unaweza kutokea.
Baadhi ya maeneo ya Los Angeles na mengine Jirani ya jimbo la Ventura yako katika hali ya hatari .
Hata hivyo maafisa wamesema wako tayari kwa ajili ya vitisho vyovyote kutokana na moto huo, hasa katika maeneo ambayo tayari yameungua moto na ni makavu .
Gavana wa California Gavin Newsom Jumanne aliamuru timu za kuondoa vifusi kuwa tayari huku wasimamizi wa dharura wakitarajia Dhoruba za msimu wa baridi ambazo zinaweza kusababisha maporomoko ya matope.
Baadhi ya wakaazi wa Palisades wameamua kutosubiri wakifanya kazi ya kuondoa uchafu ulioungua barabarani.
#marekani #la #wildfires #voaswahili #santamonica #malibu #makazi #california #losangeles
10 Feb 2025
- The four were shot following complaints from the residents to the security agencies in the area.
10 Feb 2025
- The iconic building is today one of the few well-preserved colonial-era structures still standing in Nairobi.
10 Feb 2025
- The audit further revealed that a Kenyan seeking police abstract paid an average of Ksh20,000.
10 Feb 2025
- President Ruto on Monday maintained that Kenya remains a committed partner in ensuring regional and international peace and security is achieved.
10 Feb 2025
- Police officers in Ruai, Nairobi County are probing an incident where rogue police officers raided a woman’s house in demand of Ksh.20 million allegedly stolen from a Kenyan Senator
10 Feb 2025
- Kenya, Uganda and Nigeria are the only countries in Africa that have enacted climate change legislations, according to study by African Group of Negotiators, Expert Support (AGNES).
10 Feb 2025
- The four were shot following complaints from the residents to the security agencies in the area.
10 Feb 2025
- Robert Aule Nachukul, known affectionately as the "mid-husband," has helped deliver over 320 babies across Baringo.
10 Feb 2025
- The iconic building is today one of the few well-preserved colonial-era structures still standing in Nairobi.
10 Feb 2025
- Bank accounts run by the county chiefs are allegedly avenues for siphoning off billions of taxpayers money.
10 Feb 2025
- The audit further revealed that a Kenyan seeking police abstract paid an average of Ksh20,000.
10 Feb 2025
- While some have hailed the decision ending vetting required for issuance of identification documents to residents of Northern Kenya as a step toward equality, others have raised concerns over its potential national security implications.
10 Feb 2025
- More than 600 trees planted after landslide killed four last year