Wenyeviti wa Jumuiya za Afrika mashariki EAC na SADC wamekutana jijini Nairobi nchini Kenya katika juhudi za kuunganisha mazungumzo ya pande mbili kuhusu amani ya DRC.
Miongoni mwa waliohudhuria ni wapatanishi wakuu ambao ni marais wa zamani Uhuru Kenyatta wa Kenya, Olusegun Obasanjo wa Nigeria, Catherine Samba-Panza wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Sahle-Work Zewde wa Ethiopia, na Mokgweetsi Masisi wa Botswana.
Viongozi hao wametoa wito kwa michakato yote inayoendelea ya kutafuta amani DRC kuwiana na mchakato wa Umoja wa Afrika AU.
Je, hii ndio suluhu ya kumaliza vita ambavyo vimeendelea kwa takriban miongo mitatu DRC?
Ungana na @martha_saranga saa tatu kamili katika dira ya dunia tv na pia usisahau kutembelea ukurasa wetu wa youtube wa BBCSWAHILI.
#bbcswahili #kenya #drc
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
2 Aug 2025
- While enumerating productive interventions implemented in various sectors to ensure better livelihoods, the DP said the administration will not relent in nation building and continued pursuit of economic growth.
2 Aug 2025
- A section of residents and school officials from Mukuru kwa Ruben were on Friday blocked from accessing Gatoto Community Primary School, despite a court order that overturned an attempt by the government to register the school under its wings.
2 Aug 2025
- The government has once again trained its guns against activist and politician Reuben Kigame, who has been challenging its policies and vices.
2 Aug 2025
- Former ICT Cabinet Secretary Margaret Nyambura Ndung'u has been appointed as senior researcher and digital policy specialist at the Digital Public Infrastructure (DPI) Safeguards Strategic Advisory Board, an initiative by the United Nations Office for…