Skip to main content
Skip to main content

Jukwaa la usalama awamu ya 43 lafanyika kaunti ya Nyamira

  • | Citizen TV
    323 views
    Duration: 1:07
    Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen ameshauri maafisa wa polisi kuwatumikia wananchi kwa uadilifu, wanapokabiliana na utovu wa usalama na pombe haramu.