Skip to main content
Skip to main content

Jumla ya watu watano walifariki katika uwanja wa Kasarani na ule wa Nyayo

  • | Citizen TV
    4,061 views
    Duration: 3:29
    Jumla ya watu watano walifariki katika uwanja wa Kasarani na ule wa Nyayo siku ya Alhamisi na Ijumaa wakati wa kuutazama mwili wa mwendazake Raila Odinga. Tayari familia nne zimetambua miili ya wapendwa wao huku zaidi ya watu ishirini wakiripotiwa kujeruhiwa.